Utukuzwe lyrics by Eunice Njeri

Baba we ni Moto, wewe mtakatifu

Wewe ndiwe Mungu pekee

Tena we sauti ukinene nani apinge

Nasema we Sauti, Ukisema ni ndio na amina

Njia ya uzima , kweli na uhai niwe

Utukuzwe Bwana utukuzwe

Utukuzwee Bwana milele

Sifa zako bado zaenea

Utukuzwe

Moyo wangu nauegemeza kwako

Na macdo yangu nakuinulia tena

uhai wangu numeuachilia kwako Baba

Unastahili nakusalaimu, nakusalimu

Utukuzwe Bwana utukuzwe

Utukuzwee Bwana milele

Sifa zako bado zaenea

Utukuzwe

Hallelujah eeeh Hallelujah aaah

Hallelujah eeeh Hallelujah aaah

Utukuzwe Bwana utukuzwe

Utukuzwee Bwana milele

Sifa zako bado zaenea

Utukuzwe

Hallelujah eeeh Hallelujah aaah

Hallelujah eeeh Hallelujah aaah

Add a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *