Tumeuona Mkono wa Bwana by USCF Mabibo Choir ft. Victor Maestro 

Tumeuona eeh Mko wa Bwana eeh

Tumeuona Mko wa Bwana( repeat)

Tumeuona Mko wa Bwana

Tumeuona Mko wa Bwana

Tumeuona Mko wa Bwana

Tumeuona Mko wa Bwana ( repeat)

Amefanya mambo makubwa maishani mwangu

Jinsi nilivvyo  ni kwa neema ya Bwana

Shule nafaulu ni kwa neema ya Bwana

Kibali nimepata ni kwa neema ya bwana

Vyote nilivyo navyo ni mkono umenibeba

Mimi nimeuona mkono wa Bwana

Mwenzenu ni shahidi , ya matendo makubwa ya Bwana

Mwenzenu nina ushuhuda, Bwana ametenda

Amenifuta machozi, amerejessha tabasamu

Amenitoa mavumbini, ameniketisha na wakubwa

Tumeuona Mkono wa Bwana

Tumeuona Mko wa Bwana

Tumeuona Mko wa Bwana

Tumeuona Mko wa Bwana

Tumeuona Mko wa Bwana ( repeat)

Amefanya Mambo makubwa siwezi kueleza eeh

Matendo yako ni ya ajabu sana

Amenifuta machozi, amerejessha tabasamu yangu

Matendo yako ni ya ajabu sana

Yale amefanya Kwangu yapita fahamu zangu eeh

Matendo yako ni ya ajabu sana

Yale amefanya kwangu nakosa maneneo ya kusema nalia aah eeh aah eeh aah eeh

Matendo yako ni ya ajabu sana

Yale amefanya kwangu nakosa maneneo ya kusema nalia aah eeh aah eeh aah eeh

Matendo yako ni ya ajabu sana

Acha tukusifu Bwana aah aah aah

Acha tukuinue Bwana aah aah aah(repeat)

Tunaungana na maserafi kukupazia sifa Bwana

Tunaungana na maserafi kukupazia sifa Bwana (repeat)

Acha tukusifu Bwana aah aah aah

Acha tukuinue Bwana aah aah aah(repeat)

Yungula Yungula Yungula

Yungula (repeat)

Yungula aah yungula

Yungula

Chekecha chekecha chekechs

Chekecha (repeat)

Tags: No tags

Add a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *