YEBO (Nitawale) lyrics by Vestine and Dorcas 

Verse one

Mwokozi wangu ,Nakuhitaji zaidi
Na Moyo wangu , Unalia Uwepo wako
Nimejaribu on my own ,Lakini Siwezi
Nakutegemea Usiniache kamwe

Verse two

Nikiwa bado napumua ,Jina lako ndilo nitajivunia
Tena Sitaki kitu ca kunikataza ,Kuwa chombo chako

Sauti yako ikaniita, vingine vyote mimi nakataa
Nifiche ndani ya mabawa yako, fika mwisho wa safari

Najua kwamba mimi ni wako, Unanipenda tena sana
Nuru yako imenitowa Gizani Sitaogopa kamwe

Chorus

Nitawale Sasa na Hata Milele Bwana
Overpower All of me , the way you truly desire
Natamani kuongozwa, na Mkono wako wenye nguvu
Breath your fresh Air into my heart
Amen – Amen -Amen
YEBO- YEBO Jesu , YEBO – YEBO Jesu
YEBO -YEBO Ngidinga wena

Verse 3

Eeh Mungu nitumikishe ,Katika faida za mbingu
Nisimamie vizuri ,Ufalme wako
Ndani ya Ulimwengu

Najaze nguvu nipambane, Udhaifu wangu uondoe
Nidharau mishale ya machungu adui anayonipiga

Hawa wanataja Magari ,Wengine wanataja mafarasi
Mbali sisi tunalitaja Hilo Jina la bwana x 3

Chorus

Nitawale Sasa na Hata Milele Bwana
Overpower All of me , the way you truly desire
Natamani kuongozwa, na Mkono wako wenye nguvu
Breath your fresh Air into my heart
Amen – Amen -Amen
YEBO- YEBO Jesu , YEBO – YEBO Jesu
YEBO -YEBO Ngidinga wena

Verse four

Najua kwamba mimi ni wako, Unanipenda Tena Sana
Nuru yako imenitowa Gizani Sitaogopa kamwe (repeat)

Hayayaya, Sitaogopa Kamwe,
Bonde la Mauti ,Sitaogopa kamwe,
Sitaogopa, Sitaogopa kamwe
Kwenye shimo la simba.Sitaogopa kamwe
Katika Giza tupu,Sitaogopa kamwe
Ndani ya bahari kuu, sitaogopa kamwe

Chorus

Nitawale Sasa na Hata Milele Bwana
Overpower All of me , the way you truly desire
Natamani kuongozwa, na Mkono wako wenye nguvu
Breath your fresh Air into my heart
Amen – Amen -Amen
YEBO- YEBO Jesu , YEBO – YEBO Jesu
YEBO -YEBO Ngidinga wena(repeat)