Chorus
Baba asante, Baba asante,
Umenitendea, Baba asante
Verse
Nashukuru kwa wema wako.
Nashukuru kwa fadhili zako
Rehema zako zimenifuata nyuma,
Kama sio wewe nigekuwa wapi?
Baba asante
Chorus
Baba asante, Baba asante,
Umenitendea, Baba asante
Verse
Nashukuru kwa wema wako.
Nashukuru kwa fadhili zako
Rehema zako zimeniandama nyuma,
Kama sio wewe nigekuwa wapi?
Baba asante
Nashukuru kwa wema wako.
Nashukuru kwa fadhili zako
Rehema zako zimenifuata nyuma,
Kama sio wewe nigekuwa wapi?
Baba asante
Chorus
Baba asante, Baba asante,
Umenitendea, Baba asante (repeat)