Baraka lyrics Paul Clement Ft Victor Maestro

Chorus

Ananiongezea baraka,

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka,

Huyu ni Mungu, Ni Mungu, ni Mungu wa Baraka

Verse 1

Amenijibu Zaidi ya vile nilivvyo muomba,

Nimemuomba kazi amenipa na ndoa

Nimemuomba Watoto amenipa na gari

Huyu Yesu anazidi Kun’yeshea mvua ya baraka eeh

Apabolinga Apoabolinga eeh apabolinga Yesu ee yoyoyo

Chorus

Ananiongezea baraka

Naiona tofauti ya leo na jana

Ananiongezea baraka

Huyu ni Mungu, Ni Mungu, ni Mungu wa Baraka

Verse 2

Yeye aliyeia- nzisha safari, ataimaliza

Anajua Kupenda, anajua kujali

Anaitwa mwokozi Yesu, Eze Bube

Verse 3

Kanibariki mjini, amanifanyia amani

Kanibariki shambani,amanifanyia amani (x2)

Amenipa na Watoto, amanifanyia amani

Amenipa familia nzuri,amanifanyia amani

amenibariki mjini, amanifanyia amani

Amenibariki nyumani,amanifanyia amani

Amenipa na elimu, amanifanyia amani

Amenipa biashara nzuri, amanifanyia amani

Nikienda Kushoto, yupo

Nikienda Kulia, yupo

Nikienda mbele na nyuma,

Kanizingira pande zote (repeat)

Verse 4

Kanibariki mjini, amanifanyia amani

Amenibariki shambani,amanifanyia amani

Amenibariki mjini, amanifanyia amani

kanibariki shambani,amanifanyia amani

Amenipa familia nzuri,amanifanyia amani

Amenipa Marafiki Wazuri,amanifanyia amani

Huyu Yesu ameniunua

Huyu Yesu amenipa jina mpya

Amenitoa mavumbini na kuniweka juu

Huyu yesu amenifuta machozi

Nikienda Kushoto, yupo

Nikienda Kulia, yupo

Nikienda mbele na nyuma,

Kanizingira pande zote (repeat)

Add a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *