Aah Umetenda lyrics by Dr.Ipyana ft Paul Clement

Aah Umetenda, yaliyo makuu

Aaa umefanya

Refrain

Nimwabudu nani sasa, Kama sio Wewe

Umejidhibitisha

Yale umetenda, Hakuna mwanadamu

aweza kudhubutu

Aah Umetenda, yaliyo makuu

Aaa umefanya

Nani angeweza kututoa chini

Kama sio Mungu

Nani angeweza Kutuinua

Kama sio Mungu

Nani angeweza kutupa nafasi hizi

Kama sio Mungu

Nani angeweza Kutuweka juu hapa

Kama sio Mungu

Sio elimu zetu, Sio nguvu zetu

Ni Mkono wa Mungu

Chorus

Nimwabudu nani sasa, Kama sio Wewe

Umejidhibitisha

Yale umetenda, Hakuna mwanadamu

aweza kudhubutu

Aah Umetenda, yaliyo makuu

Aaa umefanya

Wakuabudiwa, Wakuinuliwa,

Yesu ni wewe

Miungu Mingine, ni kazi ya mikono

Wewe niwe Mungu

Aah Umetenda, yaliyo makuu

Aaa umefanya

Kama si neema yako Yesu, tusingekuwa hapa

Imetupa Kibali, imetupa heshima

tusingekuwa hapa

Sio elimu zetu, Sio nguvu zetu

Ni Mkono wa Mungu

Nimwabudu nani sasa, Kama sio Wewe

Umejidhibitisha

Yale umetenda, Hakuna mwanadamu

aweza kudhubutu

Aah Umetenda, yaliyo makuu

Aaa umefanya

Aaaa umetenda

Aaaa Umefanya

Aah Umetenda, yaliyo makuu

Aaa umefanya

Add a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *